instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,381
- 14,186
Mkuu sio mke wake tuu...mama...Dada hata shangazi zake,ndo ataelewa upumbavu alioandikaSiku akibambiwa mkeo ukuje hapa
Hayo umesema wewe, yeye hajasema hivyoKwa hiyo wanaopanda daladala wote huwa wanaenda club na vigodoro?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema awafanyi....wanafanya kwa afya..sio unamlala gal mbka kupanda ngaz uwez...mbona povu mkuu!!!Pumba tupu. Wenye hela ndo wanaowapa kiburi na vi IST vyenu barabarani eti wenye hela hawafanyi ngono nyoo. Wenye hela wangekua hawawazi ngono madada wa mjini wote wasingemiliki vi saluni, boutique, safari za china wangeziskia tu hata hao bongo muvi kina uwoya, wema wangekua choka mbayaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ya dar wengi wanapak nyumban magar yao na kutumia daladala.....tafuta pesa toinyo weee😂Alafu mwenye hela gani akajipake jasho na wanuka vikwapa kwenye daladala za mbagala hebu acha ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna icho mi mwenyewe nikiacha gari naendesha pikipiki yangu, yani mtu aache gari apande daladala si akodi bodaboda kama ishu foleni hakuna tofauti ya gari na daladalaHali ya dar wengi wanapak nyumban magar yao na kutumia daladala.....tafuta pesa toinyo weee
Duuuuh
AiseeUmetuangusha ndo video gani sasa hii au alikuwa anaichukua kwa uwoga leta video inaeleweka bila hvyo utakuwa hauna tofauti na yule member hance mtanashati wa jukwaa la celebrity
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ufala yaani hata tako la mkeo hukulitambuaNina gari,lakini naliona kama takataka,nalipaki tu home,kazini ninaenda na UDART ili nibambie,Siku moja nilimbambia mtu pasipokujua ni wife,ila yeye hakuniona ,nilimtambua mwishoni kabisa
Duh punguza hasira mkuuSiku akifanyiwa hivyo mama yako, dada yako au mtoto wako wakike uje pia ufungue Uzi wa maneno hayahaya uliyoandika
Sent using Jamii Forums mobile app