Kwako Beno Malisa

Wakuu huyu Shigella na Benno si ndo walitaka kuanzisha fujo huko Dodoma wakati UVCCM inahatarishwa kuvunjwa mpaka JK akamuwashia moto Benno???
Kama ndo hivyo wajue JK ni mzee wa visasi na wajiandae kwenda ADC (bendera inafanana na M4C) maana CCM hawawezi kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…