BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Hivi ni mtandao umezidiwa ama??jamani tangu jana napiga naandikiwa error connection
nikipigiwa nakuwa kama nimebipiwa alafu mtu anatuma msg mbona simu yako inakata
hivi mna matatizo gani jamani ....ninyi tigo amjui mtaharibu ndoa za watu hivihivi watu wajue tunawakatia wake zetu kumbe mtandao wenu
embu badilikeni nimewapa mpaka jumanne saa 5 na dk 59 usiku kama amjabadilka najiondoa rasmi kujiandaa na mgomo wa ma daktari jumatano tumechoka kabisa
nikipigiwa nakuwa kama nimebipiwa alafu mtu anatuma msg mbona simu yako inakata
hivi mna matatizo gani jamani ....ninyi tigo amjui mtaharibu ndoa za watu hivihivi watu wajue tunawakatia wake zetu kumbe mtandao wenu
embu badilikeni nimewapa mpaka jumanne saa 5 na dk 59 usiku kama amjabadilka najiondoa rasmi kujiandaa na mgomo wa ma daktari jumatano tumechoka kabisa