mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,950
- 131,289
Usijali ndugu,utakuwa poa,karibu nyumbani.Thanks.. hisia zangu zinaniambia I know you very well sema ngoja nikaushe tu.
Usijali ndugu,utakuwa poa,karibu nyumbani.Thanks.. hisia zangu zinaniambia I know you very well sema ngoja nikaushe tu.
Upo sawa unajielewa ni kibri chako tuKwa Hali nilivyonayo inatakiwa niwe clean ili nijue ni wapi nimebugi then nijifunze kutokana na makosa
asantePole sana
Nenda lindi uje utupe mrejeshoKuna vitu nimevifanya week hii vishaanza kunigharimu ninekosana na Kila mtu kuanzia wazazi mpaka ndugu na jamaa wananishauri nijirudi ila point niliyofikia nikisema nijirudi saikolojia yangu inaenda kuwa destroyed kabisa pengine naweza kuwa kichaa.
Week nzima nipo kwenye mabus nasafiri hata sijui naenda wapi nikifika destination akili inaniambia ondoka hapa hapakufai na pesa yote karibia naimalizia kwenye kusafiri mpaka Sasa sijui hatma ya niendako na kwenye kichwa changu Kuna fikra zinanijia kuwa naenda kuishiwa pesa ugenini kitu kitakachopelekea kuuza vitu vyangu nilivyonavyo kama simu na nguo then mapambano ndo yaanze sipendi kufika stage hiyo lakini naona inakuja.
Mi Nina roho nyepesi nikienda Lindi nikakutana na visanga vyako mnaweza kutuma salamu za rambirambiNenda lindi uje utupe mrejesho
Nitafute nikushauriJtatu nilikuwa Dodoma nikaenda Iringa nikaona sio nikaenda Dar nimekaa masaa nikaenda kukata tiketi ya Njombe nikaona chenga nikaenda Makambako napo akili ikaniambie niende Mafinga napo nikaona chenga Sasa nipo kwenye bus naelekea Tunduru lengo ni hata mishe zikibuma nitembee hata Kwa miguu kijijini kwetu kwenda kufagilia makaburi ya wazee pengine mizimu imekasirika
Pole Sana Binti najua msiba wa mama unekuathiri Sana .Karibu kuongea na watu ,kwa simu na hata ana kwa ana.Nilifikia stage hii sema kuna sababu flani ilinizuia kuanza safari bila mpangilio...
Naomba sana Mungu aingilie kati nikae sawa
Ishanikutaga hii changamoto kubwa ilinikuta, ndugu na wazazi wakanikatisha tamaa kabisa niliondoka home kwa hasira na msongo nikawa Nasafiri naenda nisikokujua na nilisema nitakapoishia ndio hapohapo napiga kambi, nikiwa naelekea songea tukashuka Tunduru Bus Terminal kupata chakula na kujisaidia zile dk10, nilivyoshuka kwenye gari likanijia wazo lingine hapohapo nikapanda tena ndani kuchukua begi langu, nikiwa nawaza namna ya kwenda nchi jirani nikapiga kambi ya siku3 hapo Tunduru kupumzisha ubongo, nikapata wazo la kubaki hapo nikatafuta chumba nikaishi hapo kwa mwaka mmoja na miezi 3 ndipo nikarudi home nikiwa na ahueni ya stress na maisha yakaendelea, its now a different story.Dah,hivi inawezekana ukawa na stress kiasi Cha kufanya safari bila mpangilio kumbe
Andika kwa kiingerezaKuna vitu nimevifanya week hii vishaanza kunigharimu ninekosana na Kila mtu kuanzia wazazi mpaka ndugu na jamaa wananishauri nijirudi ila point niliyofikia nikisema nijirudi saikolojia yangu inaenda kuwa destroyed kabisa pengine naweza kuwa kichaa.
Week nzima nipo kwenye mabus nasafiri hata sijui naenda wapi nikifika destination akili inaniambia ondoka hapa hapakufai na pesa yote karibia naimalizia kwenye kusafiri mpaka Sasa sijui hatma ya niendako na kwenye kichwa changu Kuna fikra zinanijia kuwa naenda kuishiwa pesa ugenini kitu kitakachopelekea kuuza vitu vyangu nilivyonavyo kama simu na nguo then mapambano ndo yaanze sipendi kufika stage hiyo lakini naona inakuja.
Duh,hila nikweli ukihama mazingira fulani, inasaidia kutuliza akili sometimes,Ishanikutaga hii changamoto kubwa ilinikuta, ndugu na wazazi wakanikatisha tamaa kabisa niliondoka home kwa hasira na msongo nikawa Nasafiri naenda nisikokujua na nilisema nitakapoishia ndio hapohapo napiga kambi, nikiwa naelekea songea tukashuka Tunduru Bus Terminal kupata chakula na kujisaidia zile dk10, nilivyoshuka kwenye gari likanijia wazo lingine hapohapo nikapanda tena ndani kuchukua begi langu, nikiwa nawaza namna ya kwenda nchi jirani nikapiga kambi ya siku3 hapo Tunduru kupumzisha ubongo, nikapata wazo la kubaki hapo nikatafuta chumba nikaishi hapo kwa mwaka mmoja na miezi 3 ndipo nikarudi home nikiwa na ahueni ya stress na maisha yakaendelea, its now a different story.