KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi nina verizon BlackBerry ilikuwa na matatatizo ya fuatayo Moja nilikuwa siwezi kuulizia salio nikiwa namaana ya kutumia key hizi *102#au kuingiza pesa kwakutumia key hizi *104# nimepata software yakutoa hivi vitu naniaweza kufanya hivyo tayari naulizia salio nawezakuingiza salio!!Ila na net nilikuwa sipati ila nimeweza kufanya kazi moja naitumia kama modem nipo katika mchakato wakuakikisha na naitumia kwenye net ikiwa yenyewe!!
Mwanzoni sikuweza kutumia kitu chochote zaidi ya kupiga tu na kupokea tu lakini sasa natumia kam modem,naulizia salio kwakutumia key nilizozitaja hapo juu,sihitaji tena kurushiwa salio!!Nimeangaika kwa mafundi waliopo hapa dar mpaka wakasema hii haiwezekani lakini inawezekana nasasa natumia neti japo kwa kutumia kama modem lakini nitajitahidi mpaka niwe napata BBM
Nione kwa msaada zaidi
Mwanzoni sikuweza kutumia kitu chochote zaidi ya kupiga tu na kupokea tu lakini sasa natumia kam modem,naulizia salio kwakutumia key nilizozitaja hapo juu,sihitaji tena kurushiwa salio!!Nimeangaika kwa mafundi waliopo hapa dar mpaka wakasema hii haiwezekani lakini inawezekana nasasa natumia neti japo kwa kutumia kama modem lakini nitajitahidi mpaka niwe napata BBM
Nione kwa msaada zaidi