Kwa wenye BlackBerry za Verizon

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Mimi nina verizon BlackBerry ilikuwa na matatatizo ya fuatayo Moja nilikuwa siwezi kuulizia salio nikiwa namaana ya kutumia key hizi *102#au kuingiza pesa kwakutumia key hizi *104# nimepata software yakutoa hivi vitu naniaweza kufanya hivyo tayari naulizia salio nawezakuingiza salio!!Ila na net nilikuwa sipati ila nimeweza kufanya kazi moja naitumia kama modem nipo katika mchakato wakuakikisha na naitumia kwenye net ikiwa yenyewe!!
Mwanzoni sikuweza kutumia kitu chochote zaidi ya kupiga tu na kupokea tu lakini sasa natumia kam modem,naulizia salio kwakutumia key nilizozitaja hapo juu,sihitaji tena kurushiwa salio!!Nimeangaika kwa mafundi waliopo hapa dar mpaka wakasema hii haiwezekani lakini inawezekana nasasa natumia neti japo kwa kutumia kama modem lakini nitajitahidi mpaka niwe napata BBM
Nione kwa msaada zaidi
 
Shukrani mkuu,hilo tatizo nimeshawahi kumbana nalo,na ningependa utoe jina la hiyo software uliyotumia kurekebishia hapa kwa great thinkers ili nasi tujidai na JF yetu.Kwa wale wasio na uwezo ama muda wa kufanya wenyewe,watakuona mkuu.
 
Mimi nina verizon BlackBerry ilikuwa na matatatizo ya fuatayo Moja nilikuwa siwezi kuulizia salio nikiwa namaana ya kutumia key hizi *102#au kuingiza pesa kwakutumia key hizi *104# nimepata software yakutoa hivi vitu naniaweza kufanya hivyo tayari naulizia salio nawezakuingiza salio!!Ila na net nilikuwa sipati ila nimeweza kufanya kazi moja naitumia kama modem nipo katika mchakato wakuakikisha na naitumia kwenye net ikiwa yenyewe!!
Mwanzoni sikuweza kutumia kitu chochote zaidi ya kupiga tu na kupokea tu lakini sasa natumia kam modem,naulizia salio kwakutumia key nilizozitaja hapo juu,sihitaji tena kurushiwa salio!!Nimeangaika kwa mafundi waliopo hapa dar mpaka wakasema hii haiwezekani lakini inawezekana nasasa natumia neti japo kwa kutumia kama modem lakini nitajitahidi mpaka niwe napata BBM
Nione kwa msaada zaidi

mkuu nina simu ya blackberry verizon 9630 yenye matatizo kama yako ulivyokuwa naomba unielekeze wewe ulifanyaje au yeyote mwenye kuweza kunisaidia pliiz
 
Back
Top Bottom