Kwa watu wazima tu 35+


Bao 7 unazungumzia basketball au kumkojolea mwanamke?

Kwa andiko hili wewe hujafika 35yrs old.
 
Last edited by a moderator:
Bao 7 unazungumzia basketball au kumkojolea mwanamke?

Kwa andiko hili wewe hujafika 35yrs old.

Kama unahitaji kuhakikisha tu bet hata nyumba ila umlete mkeo halafu uhesabu magoli.
 
Kama unahitaji kuhakikisha tu bet hata nyumba ila umlete mkeo halafu uhesabu magoli.

Siwezi kukubishia maana labda huna tofati na kuku, ila mimi bao langu moja ni wastani wa dakika 20 mpaka 30. Hapa kama mwanamke umemwandaa vizuri na unajuwa vizuri kukikuna kipere G, basi hata ukipiga bao 3 ni ili ujiridhishe wewe tu lakini mwanamke anakuwa yuko fresh.

Over 35 yrs old kupiga bao saba mimi nakushangaa labda mpaka umri haujajuwa wanawake wanataka nini kwenye sex. Kama ulikuwa hujui mwanamke mpige hata mabao 200 lakini hicho silo hitaji lake.

Mtaendelea sana kuwalalamia wanawake hapa mmu kwamba hawana mapenzi kumbe wewe unawaza bao 7, kumbe mwenzako anawaza jinsi utakavyomfikisha mpaka ajisikie hata kama utampiga bao moja.
 

Kwenye para ya kwanza tupo pamoja ila huko pengine mimi naona kama ni aina fulani ya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanaume kwa sasa. Media nyingi zinasititiza jinsi ya kumridhisha mwanamke, mara kumfikisha mwanamke mpaka ajisikie huoni huo ni utumwa? Kwanini kufika kwa mwanamke liwe ni jukumu la mwanaume peke yake? Linapokuja suala la kupeana raha wote wawili wanahitaji kuhakikisha wanafikishana kileleni. Mwanamke asikae tu anasubiri kufikishwa na yeye ajitume kuhakikisha anafika, waswahili husema ukishikwa shikamana. Mimi filosofi yangu ndio hiyo nikikutana na mwanamke anayejitambua na kuthamini mahitaji yake ya kufika kileleni na akanipa ushirikiano kuhakikisha hilo linatokea nitamshughulikia ipasavyo. Lakini nikikutana na bwanyenye anayesubiri kufikishwa kileleni huku yeye mwenyewe hafanyi jitihada zozote na mimi naburuza tu. kwa bahati nzuri wanaume tunaweza hata kufika kileleni joto la kwapa tu.
 
mkuu huyo ni mtu muhimu sana mpeleke dawasco au wizara ya maji ,hicho ni chanzo muhimu cha maji inabidi kihifadhiwe vyema kwa ajiili ya vizazi vijavyo.Ila nasikitika wewe ulikiharibu,vipi kilikuwa hakitoi harufu?
 
Duh. Ka do naye tena, hilo likitokea njoo utufahamishe.
 
Yeah ni mtu wa bukoba,rwanda au uganda ni vitu vya kawaida
 
Mmh mbali na yote namwonea huruma mkeo cjui wapo wangp!! Mungu ampishie mbali na magonjwa ya kisasa na yakupate mwenyew na uzinzi wako bastard!!!!
 
Au ulimnanihii mpaka akajikoojolea?sijawahi ona ziwa eyasi kama lenu!lol
 
nasali nipate mume ka wewe..ht afanye upuuz gani ATUMIE KINGA na NISIJUE KABISAAAA....tena akirud home anletee na chocolates na maua huku anajichekesha mana kashapunguza kipururu nsijue kabisaa,presha za niniii,

Teh teh teh umenichekesha xna, na cku ya kupatikana na kaswende ndani atakwambia we ndo umeleta hawana maana hao chovya chovya!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…