Kwa
nini jambo baya likitokea znz watanganyika wanalipapia utafkiria
halijawahipo kutoke dunian ? Wakati UFIRAAUNI unaofanyika tanganyika
bilisi anauogopa. kwa mfano mauaji ya albino, mauaji ya vikongwe, wizi umehalalishwa, kula mizoga ya homa la bonde la ufa, chokoraa wanaongezeka, omba omba N.k.
Kwa
nini jambo baya likitokea znz watanganyika wanalipapia utafkiria
halijawahipo kutoke dunian ? Wakati UFIRAAUNI unaofanyika tanganyika
bilisi anauogopa. kwa mfano mauaji ya albino, mauaji ya vikongwe, wizi umehalalishwa, kula mizoga ya homa la bonde la ufa, chokoraa wanaongezeka, omba omba N.k.
Iangalie tathmini yako vizuri ukifuatilia muktadha wa mleta hoja ni kwamba makosa /jinai hutokea pande zote mbili linalosumbua ni kwamba kwa upande wa tanganyika tukio baya hata litokee mara mia ,halitiwi midomoni sana bali huwa ni taarifa ya kupita kama gumzo la kawaida ,ila tukio hilo likitokea mara moja tu zanzibar ,ghafla moja zanzibar inakuwa sehemu hatari sana na wazanzibari ni watu hatari! hapo ndipo kwenye masikitiko na mshangao wetu na endapo tungeamua kuishi kama mnavyotutuhumu sidhani kama mngethubutu kutia maguu zenji kiukweli hakuna mgeni tusiye mjua si kwa sura tu pia wapi anakotoka je nyie mnamjua kila mgeni mnayeishi nae huko?tunachoomba tupunguze chuki na kebehi na watu wajifunze ustaarabu!Wanzazibar ni watu wakarimu sana ila sielewi ktk miaka hii kimewapata nini mpaka wamegeuka na kuwa wauwaji hodari.
Kwa
nini jambo baya likitokea znz watanganyika wanalipapia utafkiria
halijawahipo kutoke dunian ? Wakati UFIRAAUNI unaofanyika tanganyika
bilisi anauogopa. kwa mfano mauaji ya albino, mauaji ya vikongwe, wizi umehalalishwa, kula mizoga ya homa la bonde la ufa, chokoraa wanaongezeka, omba omba N.k.
kwa sababu ya idadi
yenu, yaani mpo almost 1M, halafu ubaya wenu ufanane na sisi wa
Tanganyika 43M... Siyo la kushangaza hilo..???
Inaweza kuumia lakini labda matukio hayo hayakuwa mengi zamani.watu wanataharuki imekuwaje? muhimu ni kufikiria ni njia gani ilimradi yasitokee. Pamoja kuwa mauaji si mazuri lkn inafika wakati kuna baadhi ya nchi vifo ni kama vinaanza kuzoeleka, mjitahidi msifike huko. na kuzingatia idadi. mh sijui lkn nimtazamo wangu tu.Lakin kitu kidogn kikitoke znz litavamiwa apo vyombo vyote vya habar, vyombo vya ulizi mpaka utajuta kuwa mznz kama hujajua ukweli, wakati wao m2 kumuwa mwezake kwa ki2 kidogo tu ni jambo la kawainya yada.