mwantui
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,638
- 844
Habari za uzima wana jf....wakuu nina compyuter yangu hua ninaitumia kila siku bila kunisumbu ila leo kila nikiiwasha inatoa mlio kama wa alarm hivii nikajaribu kufungua ili nijue mlio huo unatokea wapi nikakuta ni AUX POWER ndio inayopiga kelele huku ikitoa rangi ya green .nikiconect monitor,mouse,pamoja na key board vyote havifanyi kazi.naombeni msaada magreat thinkers.