Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,908
Mbona watu wanasema ni Chriss M.Ljingles za clouda anapiga jamaa mmoja anaitwa PATRICK ata jingles zote za maombolezo kapiga
Mbona watu wanasema ni Chriss M.L
mkuu inabidi uwe unamkia aiseezamani sana mkuu labda nilikua bado sijazaliwa,coz nilianza kuskiliza clouds nikiwa darasa la5 enzi za Emmanuel Likuda,Mussa Hussein,Kibonde na Wasiwasi mwabulambo pale Jahazini,XXL ina kina Dozen,Dj Fetty,Mchomvu,Dee andy na Dj stevie B,Leo tena ina Dina Mario, Ghea kabla ya hawa kina Jose Mara uku Powerbreakfast ikiwa na Babra hassan,Gerrard Hando na PJ,Top20 ni Millard Ayo.Ray Mshana na Dee Andy wana kipindi cha Total Request,Pia Perfect Crispin anakipindi cha Klabu10,,So sijaanza zamani sana Nilianza miaka ya 2009/10 up to now.
Mtembezi sauti yake sio nzito ivo mkuu.Ni Antonio nugaz
Teh teh teh.!!sawa mkuu.mkuu inabidi uwe unamkia aisee
Ndio yeye wa kwenye picha hapo
Ninaweza kukubaliana nawe mkuu kwa sababu nilimuona siku moja tu live kwenye show tena miaka miwili iliyopita sura yake siikumbuki kivile ila jamaa wa hapo pichani anafanana nae, ninachokumbuka vizuri ni mweusi, sura ya ucheshi, mfupi, sio mwembamba bonge fulani hivi ila sio kivile ndo hivyo tu ila mkuu weka picha yake huyo unayomsema ndo yeye
asante kwa kushirikishafiiiiiiiiiiiiiiih daudaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
captain ni George Njogopa sio "Jokopa" jamaa yupo BBC muda sana Af sauti ya Njogopa na hii unayoiskia ni tofauti at least ungeifananisha na Raymond aliekwenda Wasafi kidogo ungeelekea kupatiaNi sauti ya kati ya hawa watu wawili,Razalo matalange au Georg Jokopa.halaf nikumbushie,G.Jokopa Ilikuwa na kipindi kinaitwa jicho LETU jmos asubuh,jamaa anajua sana mambo ya ulimwengu wa siasa za nje na historia kwa ujmla
Huyo ML ndie Michael Lukindo au nani mkuuile sauti ya Cloooouuuuudss fm, ni ya M L Chriss ila iliondolewa kwasababu jamaa aliondoka kituo kile mambo ya copyright wakaondoa ile jingle,
hiyo sauti unayoisema, siyo ya Lugoe, na mwanzo mimi nilijua ni ya DJ VENTURE ila bado sijathibitisha
hapana ML Chriss ni moja ya watangazaji wa kitambo sana wa clouds, Michael Lukindo si wa juzi juzi tu huyoHuyo ML ndie Michael Lukindo au nani mkuu
Hahahaha, mkuu George Njogopa alikua redio moja ya China inarusha matangazo kwa kiswahili na sasa nadhani yuko VOAcaptain ni George Njogopa sio "Jokopa" jamaa yupo BBC muda sana Af sauti ya Njogopa na hii unayoiskia ni tofauti at least ungeifananisha na Raymond aliekwenda Wasafi kidogo ungeelekea kupatia
captain ni George Njogopa sio "Jokopa" jamaa yupo BBC muda sana Af sauti ya Njogopa na hii unayoiskia ni tofauti at least ungeifananisha na Raymond aliekwenda Wasafi kidogo ungeelekea kupatia