Kwa wanawake wenzangu

Titty

JF-Expert Member
Aug 31, 2016
571
911
Leo katika pita pita zangu instagram nkakutana na barua refu kama shuka la kikoloni kutoka kwa Faiza Ally mwanamke alioza na mbunge wambeya mjini Mbilinyi a.k.a Sugu. Akilalamika sugu kutomjali mototo

Mambo yakwanika mahusiano wenu kwenye media nikujichoresha. Kweli inaumiza sana mwanaume kuzalisha nakukuacha.
Najua bila kipingamizi sugu alikua anampenda sana huyu mwanamke namtoto lakini Kwanika mambo nje na mkutukana kwamba mf**rji mara ana kibamia nakuonyesha ubabe pamoja na kujizalilisha kama kuva chupi vilimkera huyu jama.
Mimi naona mapenzi ni bayina yawatu wawili, hakuna mwanaumme mwenye akili timamu anaweza kumtupa mtoto wake kama huja mtukana na kumzalilisha. Au umefuata mashart. Sasa unamtukana alaf unataka msaada wake inakua ngumu kurudi nyuma sugu sio munyama kiasi hicho lakini jinsi unavyo mhando inatia hasira kutupa boga namaua yake. WHAT TURNS INTO HATRED WAS NEVER LOVE. Kwahyo wanawake naomba tusiwe wakali endapo umeazlishwa nakuwachwa just sit down ujichunguze ulikosea wapi hata kama ukipata mwengine anaweza kukuwacha kwasabubu hiyohiyo. Mi naamini ukitulia nakuongea nae kwaupole bila hasira atarudi tu. Bado naendelea kusema globalisation imetwalibu
 
Wanawake wenzio watakuelewa kweli???
Watanielewa maana kupeleka kwa mchungaji shekh au media haisaidii. Ndo unajongezea distance namwanaume. Hivi cjawahi ona mwanaume anapeleka kwenye media inamaana wao hawaumizwi. Nacc tujiakaze tulishakubali usawa
 
Ata juzi mwingine aliza na Ney wamitego nilimuona live kwenye media hapo ndokwanza Ney kasema hao wamsaidie. Nikujitambua tu. Nakujua wanaume wanakuja nasura yahuruma kama hajakuoa inamwiya ngumu kukuoa kutokana nakutowa kucha baina pande zote mbili zilio kuwa zimejificha
 
Faiza hahitaji msaada wa sugu wala penzi lake
Sugu hamtaki faiza tena kapata Bibi mpya
Sasha anamtaka Baba yake, sababu anaelewa Mdingi wake yupo
Sugu hatimizi haja ya Bintiye Sasha akimuepuka faiza
Faiza hataki ukaribu wa mwanae na hawara wa Sugu
Sugu anataka achukue mtoto apeleke kwa Bibiye
Kama Mama, Faiza anaumia kuona mtoto wake analia anamtaka Baba yake na Baba hana time naye

Sugu angetenga mda wa kukaa na Mtoto wake.
Si lazima ampeleke kwa hawala wake
Anaweza mtoa out hata kwa mwezi mara moja tu, wapate mda wao binafsi kama Baba na Binti
 
Hivi hii mimba yake mpya bado ipo?

Katika wanawake ambao automatically nawapenda hata wafanye lipi la ajabu ni faiza

Kimsingi faiza anampenda sana sugu ila nahisi kuna muda anakuwa stressed ndio maana anareact vile na kupost kumponda sugu
Tatizo faiza bado anaendeleza drama zke za kikahaba hta kwnye maisha halisi!!!maneno mengi vitendo hewa oooh mi cna shida na hela yke sasha hanishindi sugu akimchunia,anaanza visa hajielew yle demu mpenda cifa tu nyuma ya keyboard hpo tu
 
Na wakuelewe vizuri,mtu anakutomb*a anakupa mpk ujauzito halafu unamwita kibamia kweli yaani umeikatikia kitu kwa utamu mpk mimba inaingia leo unaiita kibamiaa?aiseeeh..!!!!
 
Hivi hii mimba yake mpya bado ipo?

Katika wanawake ambao automatically nawapenda hata wafanye lipi la ajabu ni faiza

Kimsingi faiza anampenda sana sugu ila nahisi kuna muda anakuwa stressed ndio maana anareact vile na kupost kumponda sugu
Yipo tena amesema amesha move on namtu mwengine. Sasa asipo jirekebisha azalishwa awachwe tena kwakosa lile lile.
Vile vile kwaupanda wawanaume kama we bahili utaachwa namwanamke wakwanza usipojirekebisha utaachwa tena natena. Mpaka ujifunze kutunza lasivyo utaishia kusema wanawake wote mama moja. Mara wanawake wahuni kumbe kuna jama kaonyesha matunzoo nawewe mapenzi huna pesa huna. Kwahiyo pande zote tujichunguze. Kulala au kulalwa sio sifa nzuri kwa kila mtu kujua maaumbili yako
 
Faiza hahitaji msaada wa sugu wala penzi lake
Sugu hamtaki faiza tena kapata Bibi mpya
Sasha anamtaka Baba yake, sababu anaelewa Mdingi wake yupo
Sugu hatimizi haja ya Bintiye Sasha akimuepuka faiza
Faiza hataki ukaribu wa mwanae na hawara wa Sugu
Sugu anataka achukue mtoto apeleke kwa Bibiye
Kama Mama, Faiza anaumia kuona mtoto wake analia anamtaka Baba yake na Baba hana time naye

Sugu angetenga mda wa kukaa na Mtoto wake.
Si lazima ampeleke kwa hawala wake
Anaweza mtoa out hata kwa mwezi mara moja tu, wapate mda wao binafsi kama Baba na Binti
Hivi sugu si alishinda kesi na kupewa mtoto? Mtoto alirudi lini kwa faiza?
 
Faiza ana tatizo ila hataki kukubali. Kupendwa alipendwa akachezea bahati inabidi akae kimya tu sio kuropoka ropoka anawapa faida wasiompenda kumuona chizi fresh.

Akubali ukweli muda wake umeisha amlee mtoto kistaarabu bila kumjaza chuki kuhusu baba yake wala mahusiano yake(anaforce ukaribu na sugu kupitia mtoto)
 
niwe mkweli haya madrama ya watoto,mama,mama wa kambo etc,kwa wenzetu yapo ila sio sana,wenzetu wanajali na huwa wanatenga muda wa kuspend mtoto na mama,mtoto na baba,mtoto anakua anajua wazazi wake wa wili,tusitumie mtoto kwenye mahasira yetu,sugu na faiza kaeni muongee kuhusu hili,anayeumia ni mwanenu sio nyie.
 
Wengine wanadhani kumzalia mwanaume ndo guarantee ya ndoa!!!


si bora kuzaa...mwengine anajilazimishia dushelele kwenye mtaro eti akuonjeshe akijua utapagawa,,yaan uingize dudu yangu huko na wala sijademand ndo nikupende????mr unakua na bint lodge anaomba akalie,,anakaa nakatika dakika mbili anajifanya imetoka,,kurudishi anapindishia nyuma ,khaaaaaaaaa,,utajipanua marinda na sikuoi
 
Back
Top Bottom