STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,219
Ukiona mpenzi wako amekuandikia meseji, ''nimekukumbuka sana, Ive realized I still love you and I miss you so much'', ametumia tu tafsida, maana halisi ya meseji yake ni,''ewe mpuuzi, nimemiss sana sehemu zako za (kinyume cha wazi)
sijaziona muda mrefu natamani kucheza nazo ngololo OR aringo.
Hawezi tu kukwambia straight kwamba alichomiss kwako ni sex tu, anapitia mlango wa uani ili atesti jinsi ulivyo mbulula, kubwa jinga, funga mlango wako wa uani na komeo la chuma. Komesha ujinga, nitakushangaa ukitumiwa
hiyo meseji halafu ukapata goose bumps, halafu ukaanza kujiambia 'auww hes
so sweet amenimisi'.
Ukiamini jiandae kugeuzwa ndafu ya harusi, harusi ikiisha huna thamani tena.
Dawa ya watu kama hawa, ukipata meseji yake mjibu hivi,''dear ex, tembelea zahanati iliyo karibu ukapimwe minyoo ya kinyarwanda'
sijaziona muda mrefu natamani kucheza nazo ngololo OR aringo.
Hawezi tu kukwambia straight kwamba alichomiss kwako ni sex tu, anapitia mlango wa uani ili atesti jinsi ulivyo mbulula, kubwa jinga, funga mlango wako wa uani na komeo la chuma. Komesha ujinga, nitakushangaa ukitumiwa
hiyo meseji halafu ukapata goose bumps, halafu ukaanza kujiambia 'auww hes
so sweet amenimisi'.
Ukiamini jiandae kugeuzwa ndafu ya harusi, harusi ikiisha huna thamani tena.
Dawa ya watu kama hawa, ukipata meseji yake mjibu hivi,''dear ex, tembelea zahanati iliyo karibu ukapimwe minyoo ya kinyarwanda'