kwa wanawake waliolewa

royna

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
479
Reaction score
336
wanawake wenzangu mlio kwenye ndoa salaam! Kwanza napenda kuwapa hongera, maana ni stage nzuri na ya muhimu kwenye maisha. Najua kuna changamoto nyingi kwenye ndoa, ila haziwezi kubadilisha ukweli kuwa ndoa ni jambo muhimu. Leo naomba mnisaidie jambo moja tu, ukiweza nitajie jambo moja tu au tabia ya mume wako usiyoipenda, na tabia moja tu au jambo analokufanyia unalolipenda. kwa wanaopenda utani kwenye mambo ya muhimu, uzi huu upotezee.,nawakaribisha!
 
ndo nini kututenga ambao hatujaolewa?
hata sisi tunawanaume jameni....
 
Napenda sana anaponifanyia Kagera Technology (KATERERO) Huwa nachukia akirudi home na kusema nimeshiba sijiskii kula..damn!
 
nalopenda- kuwajibika kwa ajili ya familia yake
nalochukia- najifunza kulipenda as... ukipenda boga penda na ua lake, pia huwezi kubadili kila tabia aliyonayo mwenzi wako.. u learn to accept it.. (kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii POLITICS @ work)
 
Napenda sana anaponifanyia Kagera Technology (KATERERO) Huwa nachukia akirudi home na kusema nimeshiba sijiskii kula..damn!

haha hahaaaaaaaaaaaa. hapo ujue alijua unapika MASABATO(makande) ..kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Neggirl loool...sikumbuki mara ya mwisho kula masabato ni lini! Hapendi ndizi za mnyenyele 😀😀😀
 
mie hata sijui nikipendacho au nikichukiacho.

nipo tu
 
Ananiudhi manake ananipenda mnoooo! Kha. Nimepunguza limbwata lakini wapi alishaathirika nadhani lol
(@neggirl umeniambukiza siasa zako)
 
mimi napenda anapowahi kuja home na tunakula wote dinner na familia na tunaenda wote kulala pamoja maana ile kuwhai tu nakuwa tayari kwa ajili yake na enjoy kuliko maelezo. Nachukia anapokuja amelewa tena night kali na anaongea anayohisi ww ya kukukera.
 
ndo nini kututenga ambao hatujaolewa?
hata sisi tunawanaume jameni....
Labda hataki michango ya nyumba ndogo na wenye vi-boi fendi au vi-mani frendi na ambao bado hamjaapa mbele ya yeyote... Kuna ubaguzi mwingine unakubalika kutegemeana na nini unataka
 
kwani what has my likes or dislikes have to do with my marriage?

ndoa ni ndoa na mapenzi ni mapenzi.
Kama komenti zako ndo hizi, basi we endelea kumegwa kisela... vipi kama vyooteee anavyovifanya huvipendi? Kuna ndoa/mapenzi hapo kweli...??
 
Naona wazee wa stress za waume wanapeana experience bac sawaaa hahahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…