Kwa wanaozifahahamu vizuri laptop/pc

Kwa wanaozifahahamu vizuri laptop/pc

Mr Gudraph

Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
22
Reaction score
6
Ninshida na pc natakununua laptop ila cjui laptop ipi ni nzuri na ina sifa gani na ubora wake kwa ujumla.
kwa wanaofaham naomba wanijuze
 
Nlitaka nishangae kwa kiswahili hiki afu uwe unajua pc....
 
hapo inatakiwa tujue wewe unataka laptop kwa matumizi gan ? pili ukituambia unabajeti ya sh ngap ? nazan tutaweza kukusaidia
Ni kwa matumizi ya chuo tu ambapo nitakuwa na dili sana na internet pamoja na mambo mengine ya ziada
Ila nina kama lak 3 hv
 
Ni kwa matumizi ya chuo tu ambapo nitakuwa na dili sana na internet pamoja na mambo mengine ya ziada
Ila nina kama lak 3 hv
kwa mpya hapo umechemka, labda mtumba na bado uko kwenye hatari ya kuuziwa mbovu kama hautakuwa makini.
Hapo nafuta Dell au Hp used, yenye at least 500gb hdd, 4gb ram (ikipungua kidogo si mbaya kama ni ishu za kusomea tu).
Ila kama ni mtu wa video games na ishu kama hizo, itakugharimu kuongeza hela.
Ukiingia kupatana site, hapo na cheji inabaki.
 
kwa mpya hapo umechemka, labda mtumba na bado uko kwenye hatari ya kuuziwa mbovu kama hautakuwa makini.
Hapo nafuta Dell au Hp used, yenye at least 500gb hdd, 4gb ram (ikipungua kidogo si mbaya kama ni ishu za kusomea tu).
Ila kama ni mtu wa video games na ishu kama hizo, itakugharimu kuongeza hela.
Ukiingia kupatana site, hapo na cheji inabaki.
Naxhukuru mkuu, kwhy hzo za mtumba nazipataje sasa hasahasa Dell af nipo dodoma mjini
 
Naxhukuru mkuu, kwhy hzo za mtumba nazipataje sasa hasahasa Dell af nipo dodoma mjini

Ndio nimekuandikia hapo ingia website ya "kupatana" hauwezi kukosa zipo nyingi. Ila kama unasoma chuo hukohuko dodoma ukiwa mtu wa watu utapata kwa wanafunzi wengine, wengi huwa wanauza pc vyuoni, ulizia ulizia kwa seniors watakutafutia kwa wanafunzi
 
Naxhukuru mkuu, kwhy hzo za mtumba nazipataje sasa hasahasa Dell af nipo dodoma mjini
Mkuu kuna duka dodoma pale nyuma barabara ya 6 nadhani zinapatikana used wanatoa na risiti + waranty ya mwaka 1
 
Naxhukuru mkuu, kwhy hzo za mtumba nazipataje sasa hasahasa Dell af nipo dodoma mjini
Pia kama upo udom au sjut au mipango zinauzwa sana tu huko ila kuwa makini mno kuna jamaa wanauzaga makopo tu
 
Back
Top Bottom