Kwa wanaouza viwanja tukatane hapa

Kwa wanaouza viwanja tukatane hapa

Njoo mbez msumi nikupe kiwanja kwa bei chee mita 20 kwa 23 kiwanja kipo kwenye tambalale na pia kipo jiran na shule ya secondary mbopo umeme upo jiran pia maji ya bomba ya Dawasco limepita jiran na maeneo hayoo
Mkuu hicho kiwanja bei gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom