Chanika ninavyoNatafuta kiwanja maeneo ya dar au nje ya mji kidgo.asante
Bei nafuu ndo sh ngapi?Nauza viwanja Dodoma chamwno ikulu kwa mzee maguful, kwa bei nafuu namba yangu ni 0659507298
Natafuta kiwanja maeneo ya dar au nje ya mji kidgo.asante
Mkuu haupo seriousNatafuta kiwanja maeneo ya dar au nje ya mji kidgo.asante
nitafute 0716411720, 20*20mNjoo pm
Nyuma ya chuo cha IPSMaeneo gan mkuu
Kutangaza biashara bila bei si ujinga tuu Bali ni upumbavu pia ,Nauza viwanja Dodoma chamwno ikulu kwa mzee maguful, kwa bei nafuu namba yangu ni 0659507298
Bei nafuu ndo bei ganiNauza viwanja Dodoma chamwno ikulu kwa mzee maguful, kwa bei nafuu namba yangu ni 0659507298
Ngapi kwa ngapi na cha upana ganiNinacho kiwanja Chanika Nzasa bei Milioni moja
Bei nafuu shingapi?huko PM tunaogopa kupigwaninacho Madale na bei nzuri.Mhitaji aje PM,nipo online 24 hours
Njoo mbez msumi nikupe kiwanja kwa bei chee mita 20 kwa 23 kiwanja kipo kwenye tambalale na pia kipo jiran na shule ya secondary mbopo umeme upo jiran pia maji ya bomba ya Dawasco limepita jiran na maeneo hayooNatafuta kiwanja maeneo ya dar au nje ya mji kidgo.asante