Kwa wananchi wa Sengerema

us malisa

Senior Member
Sep 11, 2015
131
37
ndugu wanasengerema,tumekuwa na uongoz wa ngereja kwa kipind kiref lkn hakuna hata jambo moja la maana alilofanya zaid ya kujinufaisha yy tuu,hivyo uchaguz huu tufanye kwel tabasam akatuwakilishe,naomba kuanzia busisi,mukomba, nyamasale,bitoto,mulaga,buyagu ngoma,nyanchenche,na kote mjin mwaka huu tufanye kwel
 
Nipo kishinda, tunakunywa maji ya mashimo na fisi, wananzengo hawamjui tabasam, mwambie ajitokeze huku kijijini hawajamka.....
 
Back
Top Bottom