us malisa
Senior Member
- Sep 11, 2015
- 131
- 37
ndugu wanasengerema,tumekuwa na uongoz wa ngereja kwa kipind kiref lkn hakuna hata jambo moja la maana alilofanya zaid ya kujinufaisha yy tuu,hivyo uchaguz huu tufanye kwel tabasam akatuwakilishe,naomba kuanzia busisi,mukomba, nyamasale,bitoto,mulaga,buyagu ngoma,nyanchenche,na kote mjin mwaka huu tufanye kwel