FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
HapanaSamahani...unamiliki x trail..?
HapanaSamahani...unamiliki x trail..?
Ok poa.....niliona umechambua bei ya starter...nikafikiri unamiliki x trail....Hapana
Aiseee kweli watu tumetofautianaNataka kuhamia kwenye Nissan, na my next move naplan ninunue Nissan Juke... I love this car
Hata mimi nakapenda sana.... crazy car...kapo juu vizuri....Nataka kuhamia kwenye Nissan, na my next move naplan ninunue Nissan Juke... I love this car
Aiseee kweli watu tumetofautiana
Kazuri sana, ila kama unavyosema bei yake ni mkasi haswaHata mimi nakapenda sana.... crazy car...kapo juu vizuri....
Ila kana bei sana
I am in real love with this car tooNataka kuhamia kwenye Nissan, na my next move naplan ninunue Nissan Juke... I love this car
19 ndio natumia Mimi mwaka was 10 sasa19.Nissan Hardbody
20.Nissan Navara
Hiyo machine ni sheeda mzee19 ndio natumia Mimi mwaka was 10 sasa
Ukiona mtu anataka ushauri mtandaoni tambua ana hela ya mawazoNataka kununua Nissan Datsun pickup single cab ....naomba ufahamu pipo..,
View attachment 1215812
Ukiona mtu anataka ushauri mtandaoni tambua ana hela ya mawazo
ungemuacha tu ..sio kila mtu ni wa kumjibu kwenye hii mitandao...wengine ma prof, wengine ma zuzu.., wengine millionaires..wengine kabwela ., wakati mwingine unaweza kua unajibizana na mtu ambae ingekua ni face to face...huwezi hata kumgeukia kumuangalia.Aisee...pengine ana hela nyingi tu ila si mzoefu wa magari...ndiyo anaomba ushauri...maoni yangu.
2007 Nissan pathfinder LE Diesel ndio natumia one of the best
Mafuta ndio vile diesel
Spear parts naagiza UK
Ni kweli kabsa...halafu watu wa namna hii hawajawahi kumiliki hata baiskel..ungemuacha tu ..sio kila mtu ni wa kumjibu kwenye hii mitandao...wengine ma prof, wengine ma zuzu.., wengine millionaires..wengine kabwela ., wakati mwingine unaweza kua unajibizana na mtu ambae ingekua ni face to face...huwezi hata kumgeukia kumuangalia.