Majita
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 609
- 190
Ndg zangu waungwana wa mitaa ya Ujamaa,Azimio,Jitegemee Mapinduzi/Muhimbili wazee wa zeal nk,habarini za jamvini humu.Samahani tuna mpango wa kufanya sherehe ya waliowahi kuwa wanafunzi wa Mpwapwa Sec.
Tutakuwa na mengi ya kuongea ikiwa ni pamoja na kujuana,kuwa na umoja wa kushauliana mambo mbalimbali na kubwa zaidi kukaa na kukumbushia those back days when Mpwapwa secondary school was a school. si mnakumbuka WAKATI WA "KULEVOLAIZI" BARABARA YETU YA BB na mambo mengine meeeengi.
Sherehe kama hii tuliifanya Dar 2009,na sasa nafikiri ni wazo tuifanye Mwanza then we gotta figure out wapi next.au vipi.Tuwasiliane kwa namba za simu ili tutafutane.Mwenye namba ani-PM pls.
cheers
Tutakuwa na mengi ya kuongea ikiwa ni pamoja na kujuana,kuwa na umoja wa kushauliana mambo mbalimbali na kubwa zaidi kukaa na kukumbushia those back days when Mpwapwa secondary school was a school. si mnakumbuka WAKATI WA "KULEVOLAIZI" BARABARA YETU YA BB na mambo mengine meeeengi.
Sherehe kama hii tuliifanya Dar 2009,na sasa nafikiri ni wazo tuifanye Mwanza then we gotta figure out wapi next.au vipi.Tuwasiliane kwa namba za simu ili tutafutane.Mwenye namba ani-PM pls.
cheers