Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
- Thread starter
- #41
AminaUkiitwa bahati yako... Ukiambiwa watu wapo kazini tayari usishangae pia... Ila kila MTU na bahati yakee... Ila rushua huko ipo juu ya bahati...
AminaUkiitwa bahati yako... Ukiambiwa watu wapo kazini tayari usishangae pia... Ila kila MTU na bahati yakee... Ila rushua huko ipo juu ya bahati...
Husikate tamaaHizo ajira zina wenyewe
Ndo hvyo vipi wametoaHusikate tamaa
Hizi ajira inaonekana ni za kupeana yaaniUkiitwa bahati yako... Ukiambiwa watu wapo kazini tayari usishangae pia... Ila kila MTU na bahati yakee... Ila rushua huko ipo juu ya bahati...
Mkuu kwa unavyoongea inaonekana ulishawahi kuaga kwenye hio miradi ya wakimbizi vipi umewahi kua wapi Kasulu au Kibondo?Ndio maisha yalivyo... Mashirika ni ya wazungu na yana pokea pesa nzuri tu toka huko kwa wazungu ila sisi wenyewe ndio tumeharibi... Chukua mfano wewe una ajiriwa ktk shirika hilo hilo kwa mshahara wa laki tano ikizidi 1.2M... Wakati mfanyakazi katoleWa kenya, Uganda, Kongo, Zambia, Zimbabwe au Togo, Cameroon... Ana lipwa 16M na other benefits bima ya afya usafiri chakula nyumba etc...
Na kuna muda mishahara ilikuwa mizuri sana sema uswahili umeharibu kila kitu... Wizi wa waasibu maadimini nk wamepunguza mishahara na posho za waswahili wenzao na kupelekea wizi rushua nk...
Nenda kafanye kazi kijana... Ukapige dili... Mishahara hiyo hiyo watu mwaka tu wana kibanda gari wamewekeza ktk biashara na kilimo... Hivyo usshangae sana...
Kibondo kasulu na kakonko...Mkuu kwa unavyoongea inaonekana ulishawahi kuaga kwenye hio miradi ya wakimbizi vipi umewahi kua wapi Kasulu au Kibondo?
Fresh mkuu niliwahi kuwepo Makere...Kibondo kasulu na kakonko...
Oh ok nimeishi pia hapo... Kwa kipindi kifupiFresh mkuu niliwahi kuwepo Makere...