Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
Wakuu pole kwa shuguli za kuijenga Tanzania ya viwanda.
Hili shirika litaanzishwa Tanzania, hivyo walitangaza nafasi za kazi, mdogo wangu wa Nkasi aliniomba nimsaidie kuomba na mimi nkafanya hivyo, vipi kwa walioomba mshajulishhwa au kuitwa, maana ni muda mfupi umepita baada ya deadline lakini haya mashirika ya kimataifa hawachelewagi kutoa majibu, kama kuna mtu ameitwa au kujulishwa, anisaidie ili dogo aendelee na kulima mbaazi
Hili shirika litaanzishwa Tanzania, hivyo walitangaza nafasi za kazi, mdogo wangu wa Nkasi aliniomba nimsaidie kuomba na mimi nkafanya hivyo, vipi kwa walioomba mshajulishhwa au kuitwa, maana ni muda mfupi umepita baada ya deadline lakini haya mashirika ya kimataifa hawachelewagi kutoa majibu, kama kuna mtu ameitwa au kujulishwa, anisaidie ili dogo aendelee na kulima mbaazi