Willy mayor
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 346
- 44
Niadge WAKUU ? Kwa wale waliokosa nafasi vyuo vya afya kutokana na ushindani mkubwa hasa vyuo vya serikali: ila nina imani kwamba kwa wale waliokosa wameambiwa wa apply tena..
NOTE: kwa walioambiwa waombe tena upya msije omba vyuo vyenye capacity ambayo ni ndogo yan chini ya 100. Mfano chuo cha SONGEA HEALTH LABORATORY kina capacity(nafasi) 6 lakin cha kushangaza wameoma watu 1896 je apewe nani na nani anyimwe? Xo me ninapendekeza 2 mchague vyuo binafsi na huwa wanatoa na bei ya ada kama uki apply via PC..
NOTE: kwa walioambiwa waombe tena upya msije omba vyuo vyenye capacity ambayo ni ndogo yan chini ya 100. Mfano chuo cha SONGEA HEALTH LABORATORY kina capacity(nafasi) 6 lakin cha kushangaza wameoma watu 1896 je apewe nani na nani anyimwe? Xo me ninapendekeza 2 mchague vyuo binafsi na huwa wanatoa na bei ya ada kama uki apply via PC..