moreen baby
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 127
- 23
habarini jaman kwa wale waliokwisha kufanya uswahili magereza naomba mtujulishe ni maswali gan wanaulizwa na vip panel yao n ya watu wangapi
maana na presha nayo
maana na presha nayo
habarini jaman kwa wale waliokwisha kufanya uswahili magereza naomba mtujulishe ni maswali gan wanaulizwa na vip panel yao n ya watu wangapi
maana na presha nayo
ebana kama ni mwoga usipoteze kabisa nauli yako,,kuna panel ya timu nzima ya mpira wa miguu,,,na reserve kabisa,,,then mtu mzima unawekwa kati,,,
Daaaah yaaani ule m-panel utadhani watazamaji wa mdundiko au mazingaombwe.Hatari tupu maana nilipigwa bumbuwazi moja hatari sana......MUNGU NA UNITANGULI NIPITE KWA KISHINDO.Amen!
Daaaah yaaani ule m-panel utadhani watazamaji wa mdundiko au mazingaombwe.Hatari tupu maana nilipigwa bumbuwazi moja hatari sana......MUNGU NA UNITANGULI NIPITE KWA KISHINDO.Amen!
we ulikuwa ya tar ngap mkuu na mkahudhuria wangap sku hyo?
Mie nilikuwa ya tarehe 10 ndugu fungua dimba sie......na waliudhuria wasailiwa 143 wakatega kama 57 hivi!!.......ndo tunasubiria matokeo yao sijui yatatoka lini ka nikupiga jaramba watu wakapige maana kitaa ni hatari tupu....wacha tukapigwe hiyo mipara na kuparuza mizuzu!
mtoto ka wewe uende magereza, nitafute tujadili kinaga ubaga moreen baby
Usije ukamuona live ukatoka nduki, unakuta kitu kimenyataaaa kama chura vile yani unachanganywa na jina ee.
jaman k
ulpot ln 2shachoka
Huyul
kashahakikishiwa kazi, tatizo hajui tu siku ya kuripoti.