Kwa walioapply St. John university in Dodoma

Kwa walioapply St. John university in Dodoma

Wizzie_bae

Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
5
Reaction score
0
Nasikia kuna vyuo vimeshaanza kuwataarifu majibu ya wanafunzi walituma maombi yao.. Vp ni kweli mmeshaanza kupata majibu?
 
kwa diploma kuna vyuo washaanza kutoa majina ie madini, missungwi Ila kwa afya nadhan bado
 
Na wameanza kutoa kwa mfumo gan?? Au wanawatumia sms walioapply? Naomba nijuze hapo
 
Me mwenywe juzi nimetumiwa sms ya kuchaguliwa na chuo fulani... Ila hawaupload majina kwenye web zao kwann
 
mfano chuo cha madini wameshapost majina ila vyuo vingine kama misungwi wanatuma meseji na ukijalbu kutafuta website yao hauipati sa nd apo unaenda chuo unakuta chenga
 
Back
Top Bottom