wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Hivi juzi lile tangazo la kujiunga na jeshi la polisi lilisema kigezo cha kujiunga na jeshi hilo mtu awe Division ngapi kwny matokeo yake ya form 4/6?
Dawa yao ipoView attachment 1925265
Hapo ndiyo penye tatizo.Hivi juzi lile tangazo la kujiunga na jeshi la polisi lilisema kigezo cha kujiunga na jeshi hilo mtu awe Division ngapi kwny matokeo yake ya form 4/6?
Umesahau kibandikoDawa yao ipoView attachment 1925265
RIP HamzaPale mbagala kizuiani kuna mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya sino hydro, wanaojenga barabara ya mwendokasi ya kilwa load. Wana siku ya tatu wakigoma kushinikiza madai yao.
Ila asubuhi ya leo walifika polisi wakiwa na silaha,bila kuuza chochote kutoka kwa wafanyakazi wakaanza kuwavulumishia mabomu ya machozi.Katika hali ya kushangaza hakuna hata mfanyakazi mmoja aliyekimbia badala yake walikaa chini. Mabomu yaliendelea hata baada ya watu kukaa chini. Hakukimbia mtu .
Watu wanateseka kwa moshi mzito wa mabomu, polisi wakawa wanacheka huku wafanyakazi wale wanyonge wakiinamisha vichwa vyao chini kukwepa moshi.
Askari wetu badilikeni
Polisi hawatakiwi kutumia akili ni kufuata maagizo wanayopewa tu,kama mnyama uliyemfuga kwa ulinzi akianza kugomea maagizo yako hafai ni wa kumpoteza.Askari wenye uwezo wa kureason ni wachache sana, mostly wanaamini nguvu ndo kila kitu kwao.
Unamnunulia bando jombaa??Picha liko wapi mwamba?
SimbilisiUnamnunulia bando jombaa??
Pimbi mkubwa...Simbilisi
shida inakuja aliyepozwa sio anayekwenda kupiga watu.Police wamepozwa chochote kitu wakawaumize ndugu zao
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Filigisi ya nyoka wewePimbi mkubwa...
Nyoka ni reptiles hana firigisi wewe pimbi, by the way umeishia darasa la ngapi? Nisijekuwa napoteza muda kubishana na msukule...Filigisi ya nyoka wewe
...eti jaman, unapigaje mabomu watu ambao hawana silaha, hawajafanya fujo wala vurugu yoyote? Very pathetic....😳😳😳Kama walionyesha utulivu hakukuwa na haja ya kupigwa mabom.. Watu wakireact wataambiwa Ni Wafia.....
Nimeishia darasa la mapumbuNyoka ni reptiles hana firigisi wewe pimbi, by the way umeishia darasa la ngapi? Nisijekuwa napoteza muda kubishana na msukule...
Pale mbagala kizuiani kuna mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya sino hydro, wanaojenga barabara ya mwendokasi ya kilwa load. Wana siku ya tatu wakigoma kushinikiza madai yao.
Ila asubuhi ya leo walifika polisi wakiwa na silaha,bila kuuza chochote kutoka kwa wafanyakazi wakaanza kuwavulumishia mabomu ya machozi.Katika hali ya kushangaza hakuna hata mfanyakazi mmoja aliyekimbia badala yake walikaa chini. Mabomu yaliendelea hata baada ya watu kukaa chini. Hakukimbia mtu .
Watu wanateseka kwa moshi mzito wa mabomu, polisi wakawa wanacheka huku wafanyakazi wale wanyonge wakiinamisha vichwa vyao chini kukwepa moshi.
Askari wetu badilikeni