Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Mabomu ndio yatafanya wafanye kazi?Askari wenye uwezo wa kureason ni wachache sana, mostly wanaamini nguvu ndo kila kitu kwao.
Kweli policcm hamnazo
Mabomu ndio yatafanya wafanye kazi?Askari wenye uwezo wa kureason ni wachache sana, mostly wanaamini nguvu ndo kila kitu kwao.
Halafu Ni vi rushwa vidogo vidogo sana. Buku mbili, buku tano n.k Kama wanazochukua trafik.Police wamepozwa chochote kitu wakawaumize ndugu zao
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app