Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

hezron kihiyo

Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
20
Reaction score
4
Habari.... Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki maaarufu kama fl studio.
natoa mafunzo ya kuitumia kwa bei ya 40000-50000TSH kwa muda wa siku 10 Utakuwa umejua
1. Beat making in advanced
2. Mixing na mastering
3. Vocal processing (mixing and mastering)

Note. hiii ni kwa wanaohitaji kama uhitaji usipoteze mda wako na nguvu kucomment shit.

Kama unataka kunipima nina uwezo gani kwenye fl studio njooo hapa



Nichek 0659 281692 au 0625 524872
 
nahitaji pindi pia.. ila chords za piano na guiter.. unifundishe kupiga live kwenye midi keyboard sio kwa kupanga chords kwenye piano roll kwa computer
 
nahitaji pindi pia.. ila chords za piano na guiter.. unifundishe kupiga live kwenye midi keyboard sio kwa kupanga chords kwenye piano roll kwa computer
Wewe tu karibu ata guiter la live ukitaka njooo
 
Me nipo dar kinondon sasa funzo litafanyika sehemu mbili artkingdom rec tabta au ki ghetto

mfano mimi nikitaka tuanze hata kesho tutafanyia wapi.. nazani ya studio itapendeza zaidi... nina midi keyboard ndogo ya mazoezi kila siku baada ya darasa
 
Me studio napofanya kazi ni tabata mwananchi na kighetto ni kinondon B sasa wewe utachagua wapi panakufaaa

mimi napokaa na tabata mwananchi natembea tu kwa mguu... ndio maana nikashauri studio... nitakupigia simu tuyajenge
 
M nahitaji kujifunza wind music instruments kama saxo na sml..vipi ntapata hiyo chance
 
Back
Top Bottom