mzalendo91
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 430
- 138
Kwa wale wanaopiga interview ya NSSF asubuhi hii msisahau kushare nasi maswali mtakayokuwa mmekumbana nayo huko ikiwezekana mscreen shot baadhi ya maswali na mtutumie kwenye jukwaa
Kwanza pia waliopo nje hapo pia watujuze nini kinaendelea mpaka sasa
Ahahaha sidhan kama kuna mtu atakayelifanya hilo
tumepewa pizza na sambusa tunakunywa chai kabla ya mtihani. NSSF raha sana
tumepewa pizza na sambusa tunakunywa chai kabla ya mtihani. NSSF raha sana