Founders wa hiyo dini.Kasema nani?
Ina madhara gani?Founders wa hiyo dini.
Kama nawe unataka kutoa maelekezo yako anzisha dini/kanisa lako.
Kasema nani?
Nani kasema? Sikliza hiyo video padri anafafanua. KANISA KATOLIKI kila ishara Ina maana yake na tafsiri yake. Upokee we unatoa nini?Unapo omba mkate mikono inatakiwa kuwa katika mkao wa kupokea.
Bado ujanijib kwa muumini ina madhara gani akiinua mikono kwa namna hiyo?Nani kasema? Sikliza hiyo video padri anafafanua. KANISA KATOLIKI kila ishara Ina maana yake na tafsiri yake. Upokee we unatoa nini?
Kwa muumini pale anakuwa anafanya kazi ya kuhani, kuhani ndio mtoa sadaka, ndio anatakiwa anyanyue mikono. Muumini anatakiwa afunge mikono yake kwa unyenyekevu.Bado ujanijib kwa muumini ina madhara gani akiinua mikono kwa namna hiyo?
Katekista uwakumbushe pia ishara ya msalaba inapigwa mwanzoni mwa ibada/misa, baada ya kutoa vipaji/zaka na mwishoni mwa misa wakati wa baraka ya mwisho. Wakati wa mageuzi waumini wasipige ishara ya msalaba, ok?
Haya ni maelekezo yangu mimi Mwenyekiti wa Walei JamiiForums.
Ishara ya msalaba ni mara 2 tu, mwanzo na mwisho wa misa takatifu.Katekista uwakumbushe pia ishara ya msalaba inapigwa mwanzoni mwa ibada/misa, baada ya kutoa vipaji/zaka na mwishoni mwa misa wakati wa baraka ya mwisho. Wakati wa mageuzi waumini wasipige ishara ya msalaba, ok?
Haya ni maelekezo yangu mimi Mwenyekiti wa Walei JamiiForums.
Tuelekezane kwenye mambo madogo madogo Ili makubwa iwe rahisi kuyaelewa. Mapadri hawajaelewa hili.Kwa nini wakati wa vipaji na wakati muda huo Padre na vibariki vipaji ina haja gani ya kupiga tena na tayari ulipiga mwanzo wa misa. Sio nayo ni mazoea kama muda wa mageuzo.