Kwa wadada: Kataa kuumizwa

Dah! we mkali thamani ya mwanamke iko hyo sehemu? wanishangaza pia usemapo usimpe bila kujua ni wa kupita au kubaki.....bs wengine wanaonyesha intention ya kubaki na kuvumilia mwaka mzima na kukupa kila ki2 in the long run wanakimbia.
 

Noted.
 
Hili jipu sasa atalitumbua nani....? Maana limewiva kwelikweli na linaumiza ..halina Mtumbuaji.!"!
 
ni kweli kabisa..mm kuna Mkaka alikuwa ananitongoza nilikuwa simfahamu vizuri zaidi ya kumuona tu.nikawa namkataaa. baadae akaja na gear ya kutaka kunioa.nikamkataa. nikawa bnajiuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…