hakuna hata mmoja anayejali maslahi ya nchi........wote wanajali kuonekana,kupata umaarufu,kujitengenezea ajira siku zijazo,na kubwa wakumbukwe mbeleni......wengi njaa zao pia zinawaponza wanatumiwa mpaka viatu vinaisha soli kuwapigia debe wajanja.
Na ndio maana hawana kauli mbiu wala sera,blabla tu zimejaa!!!