NJUGHU
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 381
- 261
Urafiki wa mabepari huwa ni wa kihindi,kwa utajiri wa Zaire ya zamani,wamegombanishwa hakuna amani. Libya walipewa kila kitu lakini wakamsaliti Kadaff matajiri wakitaka mafuta,Irak,Iran na hata Nigeria vivyo hivyo hapajatulia?
Watanzania wenye madini lukuki,utalii,gasi,maziwa yenye samaki,na hata mafuta na uranium tutaponea wapi?
Tuwe makini na siasa zinazo kuja tuweke uzalendo wa utanzania mbele! Muumba atusaidie!
Watanzania wenye madini lukuki,utalii,gasi,maziwa yenye samaki,na hata mafuta na uranium tutaponea wapi?
Tuwe makini na siasa zinazo kuja tuweke uzalendo wa utanzania mbele! Muumba atusaidie!