Hata kama wangeikataa posho hiyo isingerudishwa hazina, bali ingepigwa na wajanja na hatimaye ingetumika vibaya kwa kununulia kura kutoka kwa wananchi maskini, bora walivyoichukua
Sijakuelewa....kwahiyo ukawa wasipopinga posho unapigia kura ccm........NI MARA NGAPI UKAWA WAMETOKA NJE N AKUKATAA KUSHIRIKI MAAMUZI YA MAMBO KIBAO AMBAYO HAYANA MANUFAA KWA WATZ. Ufisadi gani unasubiri ufanyike ili uikatae ccm mpaka unaongelea posho??Hata posho mara kibao wamezikataa.....TATIZO NI SISI WANANCHI, wkt upinzani wanakataa kitu Fulani wewe uko unakunywa viroba!!!!
MABADILIKO NI MIMI NA WEWE
Bavicha kwa matusi ni balaa. Nilichokisema siyo mfano, ni ukweli. Sijui unatukana kwa sababu zipi au unakataa kuwa CUF hawajaungana na CCM Zanzibar? Pia CUF ni UKAWA au mmeifukuza?