spacing
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 265
- 111
Kitendo cha kuajiri sector moja tu kla mwaka serikali haitendi haki.Just imagine,sector za kilimo,na afya serikali inaajiri watu wachache sana na kuacha wengine mtaani wakisota.Halafu eti mnakaa mnaimba majukwaan wajiajiri!!!! wajiajiri???? Kama ni kujiajiri si mgeanza kujiajiri ninyi wazee wetu mliotutangulia kusoma ili tuige mfano,???? Nyie wenyewe hamuwezi kujiajiri mmekalia rushwa tu maofisini.By the way tmechoka sasa ngoja tupande wote majukwaani tuone kama mtarud hko kula kodi za wananchi;eeeh hakuna namna nyingine,tmechoka sasa kubaguliwa three years mnaajiri walimu tu sector zngne mnachkua watu wenu tu.psuuuuu!!!!