Kwa sisi tuliosoma Tel Aviv tushaelewa🤣

Kwa sisi tuliosoma Tel Aviv tushaelewa🤣

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,467
Reaction score
28,901
8a45368bb1d9f40956c52ae159448a0d.jpg
 
Nile kiapo ili iweje mr Maghayo a.k.a The Mongolian Savage ??
Kuna operation kabambe imeanzishwa ya watu kula kiapo cha utii Kwa kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali AS.

Ikilazimika watu watalishwa hiki kiapo kwa nguvu na lazima.

Maovu kwenye jamii yamezidi, kuna dhulma, ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu.

Kuhakikisha haya yote hayapo na watu wanaishi Kwa umoja, huruma na kupendana ilivyo kwa Kipenzi chetu cha dhati Imam wetu kipenzi , LAZIMA kula kiapo cha utii.

The road to Karbala join the movement NOW!

um-guerreiro-a-cavalo-e-um-simbolo-do-dia-de-ashura_800913-59.jpg


N'yadikwa adriz Jagina
 
Back
Top Bottom