Mwingiliano wa tamaduni yaani kuiga utamaduni wa Magharibi, ni moja ya sababu za vijana wengi kupiga chenga kuoa. Siku hizi ingawa watu wanaoana, lakini uwiano wa wanaooa na wanaopiga chenga umetofautiana sana. vijana wanakwepa majukumu ya ndoa, na wanpenda uhuru, kwa sababu kuna ile dhana kwamba kuoa ni kujinyina uhuru......... huenda maneno hayo yakana na Ukweli, lakini Je ndio watu wasioe au kuolewa?
Wakati wanaume wanapiga chenga, wanwake nao kwa upande wao kuna baadhi yao hawapendi kusikia hilo neno kuolewa kabisaaa, na sababu ni hiyo hiyo ya usasa.............. Mitanndaop ya Intenet na Simu za mikononi, zimewafanya vijana siku hizi kuwa na ma-partner wa mitandaoni, ambao huwasikliana wakiwa mbali na kama ni kukutana huwa ni mara chache sana, kitu ambacho hakiwanyimi uhuru wao................
Sababu ziko nyingi lakini nimetaja baadhi tu...............