Hosea Ben
Member
- Sep 22, 2014
- 69
- 15
Humphrey Polepole Evarist Chahali Kitila Mkumbo na wanafiki wengine wote ni kweli mumefilisika kifikra hivyo? Juzi tu Chahali ulikuwa unabwata ati ccm wanakufuatilia ili wakuue, leo umekuwa kibaraka wao? Pia Polepole ulikuwa ulilia katiba ya Warioba ya serikali tatu ambayo ccm unayoitetea imeitupilia mbali, Ukawa wamechukua jukumu la umma kupata katika mpya, leo mnawapinga wananchi?
Utafiti unaonyesha kuwa tanzania ina idadi ya wajinga wengi wanaomiliki phd kuliko wajinga wanaolima kwa jembe la mkono kule vijijini,
Mchango wa wasomi wengi wenye hadhi ya u-professor katika kulijenga taifa ni sifuri kabisa, ila mchango wao katika kulidumaza taifa ni 100%.
Watu wa aina ya Lipumba, Kitila mukumbo, Zitto kabwe, Dr Bendon Bana ni sehemu ya gharika la taifa hili. Hawa wanayatazama ukubwa wa matumbo yao kuliko mstakabali wa taifa hili.
Utafiti unaonyesha kuwa tanzania ina idadi ya wajinga wengi wanaomiliki phd kuliko wajinga wanaolima kwa jembe la mkono kule vijijini,
Mchango wa wasomi wengi wenye hadhi ya u-professor katika kulijenga taifa ni sifuri kabisa, ila mchango wao katika kulidumaza taifa ni 100%.
Watu wa aina ya Lipumba, Kitila mukumbo, Zitto kabwe, Dr Bendon Bana ni sehemu ya gharika la taifa hili. Hawa wanayatazama ukubwa wa matumbo yao kuliko mstakabali wa taifa hili.