MTANGANYIKA2010
Member
- Jul 23, 2010
- 44
- 15
Kwanini mtu anapoteuliwa ktk nafasi yoyote ya juu tunasema AMEULA? Wakati pale anakwenda kutumikia taifa ama shirika lolote ndani ama nje ya nchi, hatuoni kusema hivyo ni kuchochea RUSHWA, na UFISADI ktk nafasi hiyo kwa maana anakwenda KULA (Kuiba)?