Haaaah!! Kuna sehemu nilienda kuomba,,nikaambiwa nenda kwa mtu flani..hii ni baada ya kutuma mara 2. Mara ya. Kwanza waliniambia ni overstaffed..bt wangeniweka wakati ujao..that was 2011, then nikaomba 2013, nikajibiwa the same answer..baadae nikaambiwa nicheki na mtu flani mkubwa wa hiyo organization. So sikujisumbua..nw nafanya yangu,