Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,358
- 5,843
Kuna habari kwamba Raisi Nkurunzinza wa Burundi amefunguliwa mashitaka katika mahakama ya umoja wa nchi za Afrika mashariki (Arusha).swali langu ni kwa nini maraisi wengine wa umoja wa Afrika mashariki waliotawala nchi zao zaidi ya miaka kumi wasifunguliwe mashitaka?au kwa kuwa Burundi ni taifa lisilokuwa na nguvu ukanda huu ?