Hashim Lundenga na kampuni yake ya Lini anatumia Generic name la tanzania yeye na familia yake na bado tunampa bendera ya nchi kwa nini jamani wadanganyika?
Linoagency ni nini kwa watanzania, Miss Tanzania iko chini ya umbrela gani ya serikali au jamii ya kitanzania. Jina la nchi linatumika vibaya. Nipasheni wadanganyika