Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Ndugu zangu wa JF. Huwa najiuliza sana hivi ni kwanini hawa viongozi wa CDM wanaposema walishinda Uchaguzi 2015 huwa hawachukuliwi hatua yoyote. Huu si ni uchochezi???
Mikutano mingi hurudia na kusema walishinda uchaguzi. Lakini serkal haiwanyooshei hata kudole.
Kila pale lowasa anapoenda hujitamba kuwa yeye ndye alishinda uchaguzi. Serikali inamuogopa kwa nini huyu mtu? Wameanzisha serkal ya mafisadi ila mpaka sasa hajawai fikishwa mahkamani lakini walituambia kuwa ndye fisadi mkuu.
.
Mikutano mingi hurudia na kusema walishinda uchaguzi. Lakini serkal haiwanyooshei hata kudole.
Kila pale lowasa anapoenda hujitamba kuwa yeye ndye alishinda uchaguzi. Serikali inamuogopa kwa nini huyu mtu? Wameanzisha serkal ya mafisadi ila mpaka sasa hajawai fikishwa mahkamani lakini walituambia kuwa ndye fisadi mkuu.
.