Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,682
tunafahamu kuwa timu itakayoshika nafasi ya kwanza ktk hatua ya Makundi ya UEFA champions league basi tunapoingia ktk raundi ya pili anatakiwa aanzie ugenini kisha anakuja kumalizia nyumbani.
Sasa je kigezo gani alichonacho Barca kilichompa upendeleo wa kuanzia ugenini ktk mechi ya robo fainali dhidi ya AC Milan na kisha kesho watakuwa London kwa Chelsea kuanza mechi ya kwanza ya nusu fainali kisha mechi ya pili itakwenda kupigwa Nou Camp.
So kama kuna anayeelewa anidokeze kabla sijafunga safari mpaka Uswis yalipo makao makuu ya shirikisho hilo la Soka barani Ulaya.
Sasa je kigezo gani alichonacho Barca kilichompa upendeleo wa kuanzia ugenini ktk mechi ya robo fainali dhidi ya AC Milan na kisha kesho watakuwa London kwa Chelsea kuanza mechi ya kwanza ya nusu fainali kisha mechi ya pili itakwenda kupigwa Nou Camp.
So kama kuna anayeelewa anidokeze kabla sijafunga safari mpaka Uswis yalipo makao makuu ya shirikisho hilo la Soka barani Ulaya.