Kwa nini AU haidhibiti maraisi waroho wa madaraka?

Tango73

JF-Expert Member
Dec 14, 2008
2,180
1,291
wimbi la maraisi waroho wa madaraka linazizidi kutanda barani Africa huku maraisi wengi wa Africa wakiishutumu ICC eti inafuata fuata maraiai weusi tuu. ingawa kuna demokrasia change barani Africa, lakini kuna baadhi ya maraisi hawataki kuachia madaraka hata kama wanshindwa kiharari. maraisi wengione hutaka kuongeza muda ili katiba iwaruhu kutwawala vipindi lukuki. Umoja wa nchi za Africa AU umakaa kimnyaa siku zote wakingojea kupeleka majeshi ya kulinda Amani katika nchi zenye migogoro ya kugombea madaraka kama ilivyo Burundi, Rwanda,Kongo ya zaire na kuingine barani Africa. hivi sasa kuna watu Zaidi ya arobaini na tano wamesisha poteza maisha hapo kinshansa kitu ambacho kisingetokea kama Raisi kabila angeheshimu katiba ya nchi.

Kwa nini AU isizitenge nchi wanachama ambazo maraisi wake hung'ang'ani kiti bila kuwapa na wengine haki ya kutawala? AU itasumbua nchi wanachama kupeleka majeshi ya kulinda Amani mpaka lini jamani?
 
hata wale walio toka kwa hiyari yao kwa kidai ni demokrasia nyuma ya pazia kuna mengi wamefanya yanayo wafanya waone aibu kuwanyooshea kidole hao unao dai ni waroho wa madaraka.

pitia chaguzi nyingi ktk nchi za a
Afrika utaelewa ninacho maanisha
 
Mwenyekiti wa AU wa sasa unamjua? Fuatilia historia yake (aliingiaje madarakani, amedumu kwa miongo mingapi na lini ana mpango wa kuachia madaraka) pale AU HQ/Summit wakikutana ni kama "business as usual" yaani ni kama jumuiko la Mlima wa Moto tu.
 
wimbi la maraisi waroho wa madaraka linazizidi kutanda barani Africa huku maraisi wengi wa Africa wakiishutumu ICC eti inafuata fuata maraiai weusi tuu. ingawa kuna demokrasia change barani Africa, lakini kuna baadhi ya maraisi hawataki kuachia madaraka hata kama wanshindwa kiharari. maraisi wengione hutaka kuongeza muda ili katiba iwaruhu kutwawala vipindi lukuki. Umoja wa nchi za Africa AU umakaa kimnyaa siku zote wakingojea kupeleka majeshi ya kulinda Amani katika nchi zenye migogoro ya kugombea madaraka kama ilivyo Burundi, Rwanda,Kongo ya zaire na kuingine barani Africa. hivi sasa kuna watu Zaidi ya arobaini na tano wamesisha poteza maisha hapo kinshansa kitu ambacho kisingetokea kama Raisi kabila angeheshimu katiba ya nchi.

Kwa nini AU isizitenge nchi wanachama ambazo maraisi wake hung'ang'ani kiti bila kuwapa na wengine haki ya kutawala? AU itasumbua nchi wanachama kupeleka majeshi ya kulinda Amani mpaka lini jamani?
Nani amfunge paka kengele? Maana waafrica by nature ni waroho wa madaraka ma wasio kubali kuyaachia kirahisi.
 
Back
Top Bottom