Kwa mwendo huu simba tutafika kweli?

ziba

JF-Expert Member
Nov 18, 2016
472
541
Simba tualinza vzr lakn mwishoni mwa raundi ya kwanza tukaanza kuharibu.
Ile kasi ya mwanzo sasa sioni tena.

Kwenye kombe la mapinduzi tualianza vizuri lkn baadae tukaanza kuchechemea.

Niseme kweli hata kumtoa yanga tulibahatisha tu.

Tumeingia fainali tumeambulia kipigo toka kwa azam.

Tumecheza ligi kuu na mtibwa tumeishia kutoa draw.

Kwanini tunapoteza pumvi hivi?
Kama shabiki na mpenzi wa mnyama naomba kujuzwa tatizo liko wapi?
 
Tatizo mnataka kila match mshinde wakati ligi ni ya ushindani na kila timu inataka ijiweke mahali pazuri,kushinda mnaweza shinda ubingwa huo Ila kwa kujua mnashindana na wengine na mpira unamatokeo matatu
 
Tatizo ni kwamba 'pumzi'.......... pumzi inaka sana kwenu..

unakumbuka mwishoni mwa mzunguko wa kwanza uliopita...? mliishiwa pumzi mechi za mwisho!

sasa mzunguko huu mnaanza kuishiwa pumzi mapema mno....

kazi mnayo! mngojeni Okwi aliyecheza mechi 1 ndani ya miaka 2 aje kuwasaidia.
 
Tatizo mnataka kila match mshinde wakati ligi ni ya ushindani na kila timu inataka ijiweke mahali pazuri,kushinda mnaweza shinda ubingwa huo Ila kwa kujua mnashindana na wengine na mpira unamatokeo matatu
Kwa mwanzo wengine walikuwa hawashindani? Hoja nyepesi hiyo kuna tatizo mahali tusipo lifanyia kazi hatufiki kokote , tumechoka fedhea za yanga
 
Tatizo ni kwamba 'pumzi'.......... pumzi inaka sana kwenu..

unakumbuka mwishoni mwa mzunguko wa kwanza uliopita...? mliishiwa pumzi mechi za mwisho!

sasa mzunguko huu mnaanza kuishiwa pumzi mapema mno....

kazi mnayo! mngojeni Okwi aliyecheza mechi 1 ndani ya miaka 2 aje kuwasaidia.
Mkuu hili wewe halikuhusu wewe angalia ya jangwani tu
 
Mkuu hili wewe halikuhusu wewe angalia ya jangwani tu
sioni tatizo katika kuwashauri kuepukana na matatizo ambayo yatawaletea aibu kubwa mwisho wa msimu......

huku jangwani mambo yako sawa sawia mzee! usiwe na shaka, hakuna tatizo.
 
sioni tatizo katika kuwashauri kuepukana na matatizo ambayo yatawaletea aibu kubwa mwisho wa msimu......

huku jangwani mambo yako sawa sawia mzee! usiwe na shaka, hakuna tatizo.
Subiri tutakapo kuomba ushauri ndipo utushauri mkuu
 
Subiri tutakapo kuomba ushauri ndipo utushauri mkuu
Hapana Mkuu!

siwezi kusubiri uniombe, najua hauna ujasili wa aina hiyo.....Mmejaa aibu sana.

acha tuwaforce kuelewa ushauri wetu!
 
Wachezaj wamechoka, kipnd kile kocha alkuw anawatumia viungo kushambulia bt nw kabadil mbinu kaona awatumie tu washambuliaj wake magalasa bt kafikir hilo wakat akna kichuya mzamiru washachoka nd maan unaona nyuma na kat papo fresh ila mbele nd tatzo so hapo tuombe tu mungu maana droo tutakuwa nazo nyng sana
 
Kocha abadili mfumo,tatizo no 9.Haina mtu tegemeo.cross zinapotea maana mtu wa kupiga vichwa hayupo.Simba inahitaji mtu kama Boko pale no 9.Kiujumla timu iko vizuri,Mavugo asimame kama 9Tegemeo mambo yatakua mazuri usihofu.
 
Wachezaj wamechoka, kipnd kile kocha alkuw anawatumia viungo kushambulia bt nw kabadil mbinu kaona awatumie tu washambuliaj wake magalasa bt kafikir hilo wakat akna kichuya mzamiru washachoka nd maan unaona nyuma na kat papo fresh ila mbele nd tatzo so hapo tuombe tu mungu maana droo tutakuwa nazo nyng sana
Ufumbuzi ni nini hapo mkuu
 
Kwanini tusifike ???
Kwani kuna shida gani??

Huez uka maintain constitency ya kutofungwa mda mrefu lazima kuna wakat uta draw ama kufungwa ...lakin sio kwamba eti ndo hujui unakoenda kwamba ulikua unashinda sana halaf umeanza ku draw ama kufungwa ni jambo la kawaida
Muhimu lengo la timu lisipotee
Timu nazo zimejiandaa ...mi naona hatuna shida ...tuendelee kupiga mpira ..tusiangalie nyuma tuangalie ya mbele ...cha muhim ni kujitahid kutofungwa
 
Kwanini tusifike ???
Kwani kuna shida gani??

Huez uka maintain constitency ya kutofungwa mda mrefu lazima kuna wakat uta draw ama kufungwa ...lakin sio kwamba eti ndo hujui unakoenda kwamba ulikua unashinda sana halaf umeanza ku draw ama kufungwa ni jambo la kawaida
Muhimu lengo la timu lisipotee
Timu nazo zimejiandaa ...mi naona hatuna shida ...tuendelee kupiga mpira ..tusiangalie nyuma tuangalie ya mbele ...cha muhim ni kujitahid kutofungwa
Hofu yangu tusije kushuka kutka kudraw mpaka kufungwa
 
Back
Top Bottom