J jnuswe JF-Expert Member Nov 2, 2010 1,270 549 Aug 25, 2011 #1 Nina mashaka sana na jinsi ambavyo serikali hii inashughulikia suala la katiba mpya, waziri wa katiba baadala ya kuchukua kama changamoto hotuba iliyowasilishwa na waziri kivuli juu ya muswaada wa katiba yeye anaendekeza mipasho,
Nina mashaka sana na jinsi ambavyo serikali hii inashughulikia suala la katiba mpya, waziri wa katiba baadala ya kuchukua kama changamoto hotuba iliyowasilishwa na waziri kivuli juu ya muswaada wa katiba yeye anaendekeza mipasho,