Kwa mwanaume rijali/shaababi mwisho ni bao ngapi kupiga?!

Chrix_Tz

JF-Expert Member
Apr 15, 2015
880
1,098
Kumekua na usemi hasa tukiwa ktk vijiwe na au pale tunapokutana na washkaji, huwa tukipiga story za madem zetu kuwa tumewapiga bao kadhaa na wengi hujinadi kwa kupiga bao7 mara 5 na kadharika hasa huwa najiuliza hivi kweli kuna binadam anauwezo wa kukojoa bao 6 au zaidi? Au ndo mastory ya kijiweni tuuu. Ebu tujuzane uenda sisi wenye kupiga zile kama za taifa stars za jana sio mashababy?? 🤨


Sent using IPhone X
 
Kwa thread kama hizi lazima tukubali tu kuendelea kuitwa
wavulana!
Wa dar
Wa kwa shemeji!
Wala chips!
Na mengineyo!
Yaani mambo ya kijiweni tunayabeba hadi kwenye maisha halisi!!


Sent using Jamii Forums mobile app

imebid nicheke sana mkuu sio siri yaan unakuta mtu mzima nae anakomaa ktk hili hasa najiuliza hata ukimeza chamkongo bado hufikish 5 kwl wavulanq hawaish


Sent using IPhone X
 
Kumekua na usemi hasa tukiwa ktk vijiwe na au pale tunapokutana na washkaji, huwa tukipiga story za madem zetu kuwa tumewapiga bao kadhaa na wengi hujinadi kwa kupiga bao7 mara 5 na kadharika hasa huwa najiuliza hivi kweli kuna binadam anauwezo wa kukojoa bao 6 au zaidi? Au ndo mastory ya kijiweni tuuu. Ebu tujuzane uenda sisi wenye kupiga zile kama za taifa stars za jana sio mashababy?? 🤨


Sent using IPhone X
kumbe na wewe ni mtoto (mvulana)??? ukikua utaelewa tu vumilia kidogo
 
yaani kama unakaa kijiwe cha watu wanaozungumzia urijali wa kupiga bao saba nakuendelea jua woote mpo kipindi cha balehe. watuwazima hatuna story hizo

Labda hujaelewa hapo sio lazima nikae mie ila hata kwenye thread tu unakutana nazo km hizi mkuu inamaana na ww ni mtoto si unasoma hapa upo kijiwen tayar na unachangia mada 🤨so we pia mtoto ama?


Sent using IPhone X
 
urijali siyo wingi wa mabao...ni kumfikisha mwanamke mpaka anazima kwa muda

Eh kuzima tena kwahiyo asipozima huyo bado ? Ila ujue kuna mijianamke kuifikisha ufanye kaz ya ziada sana sio usugu walionayo


Sent using IPhone X
 
Sent using your batax...

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Labda hujaelewa hapo sio lazima nikae mie ila hata kwenye thread tu unakutana nazo km hizi mkuu inamaana na ww ni mtoto si unasoma hapa upo kijiwen tayar na unachangia mada 🤨so we pia mtoto ama?


Sent using IPhone X
mbona unabadili mada sasa?? kukusaidia mada mtoto wa kiume anapokua kwenye balehe mpaka umri usiozidi 21 inategemea na mwili wa mtu ni kweli anweze kwenda hadi hizo saba lakini za kuku, ila umri ukiongezeka swala la saba si normal isipokua kwa watu wachache saana ila kawaida ni 3 au 4 ukiwa unakula vizuri tena si mara zoote kwakua unakua na mambo mengi kichwani.

sasa umeridhika mdogo angu??
 
Mwanaume huwez piga bao zaidi ya 3, la sivyo utazima.

Iko hiviii, mwanaume km hujakutana na mwanamke kwa muda mrefu kuanzia mwezi, nasisitiza kama hujakutana na mwanamke kwa muda mrefu basi bao la kwanza ni dakika chache tuu.

Then yanayofuata yatachukua muda mrefu, kuanzia dakika 30 na kuendelea kulingana na uwezo wako binafsi. Sasa kwa huo muda km hujamkojoza mwanamke basi jua hujamgusa kunako bali unatwanga tuu unnecesarily.
 
mbona unabadili mada sasa?? kukusaidia mada mtoto wa kiume anapokua kwenye balehe mpaka umri usiozidi 21 inategemea na mwili wa mtu ni kweli anweze kwenda hadi hizo saba lakini za kuku, ila umri ukiongezeka swala la saba si normal isipokua kwa watu wachache saana ila kawaida ni 3 au 4 ukiwa unakula vizuri tena si mara zoote kwakua unakua na mambo mengi kichwani.

sasa umeridhika mdogo angu??

Ulitakiwa ujibu hivi sasa mzee baba ningekuelewa ofcoz nimeweka hii mada pia kuwasaidia wale wanaojiona ni wagonjwa labda wa nguv za kiume kwa kukosa kugegeda bao labda 4 kulingana na story za vijana wengi pia... unajua tunakutana na watu weng hata kwenye starehe so story tofaut tofaut sana en sio huko tu hata huk pia en ukifikilia hilo unaeza ona km unatatizo la nguv za kiume kumbe hamna ni story tu za watu ila kiuhalisia kiukwel ni km usemavyo mkuu en mfano mwepes uliona hata kule kwenye mada yang pendwa uliona kuna kijana mmoja alicoment km icho so hii kwa wavulana bhana ni shida ofcoz.


Sent using IPhone X
 
Mwanaume huwez piga bao zaidi ya 3, la sivyo utazima.

Iko hiviii, mwanaume km hujakutana na mwanamke kwa muda mrefu kuanzia mwezi, nasisitiza kama hujakutana na mwanamke kwa muda mrefu basi bao la kwanza ni dakika chache tuu.

Then yanayofuata yatachukua muda mrefu, kuanzia dakika 30 na kuendelea kulingana na uwezo wako binafsi. Sasa kwa huo muda km hujamkojoza mwanamke basi jua hujamgusa kunako bali unatwanga tuu unnecesarily.

Na ukizidisha zaid kugegeda utajikuta unakojoa upepo au dam tuuuu hasa kwa wanaume wenye age yetu km sie kutaka kukimbiza mwenge wa taifa ila unakuta kivulana kinajinad kabisa et bao 6 hiv umekua shetan maana hapo sana sana ni uchaf tuu


Sent using IPhone X
 
Aisee mada za watoto zimekuwa nyingi humu!!! Arrghhhhh!! Hivi haya matoto yametoka wapi yanaharibu Jamiiforums kiasi hiki??!!!!!
 
Back
Top Bottom