sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Stage ya ujana ndio imezoeleka kuoa lakini lolote laweza tokea, yawezekana mwanandoa akafariki ama mkaachana, n.k.
Kwa mwanaume mwenye 43 ambae alishaoa ujanani lakini kapatwa na gharika mojawapo na kaamua maisha yaendelee aoe, yafaa achague binti mdogo ama mwanarika mwenzake ?
Kwa mwanaume mwenye 43 ambae alishaoa ujanani lakini kapatwa na gharika mojawapo na kaamua maisha yaendelee aoe, yafaa achague binti mdogo ama mwanarika mwenzake ?