Tunaona huko Uganda, pamoja na Museveni kutumia mbinu kama zile za ccm, Mugabe, Kagame, n.k ili kushinda uchaguzi bado tunaona wapinzani wanaleta amsha amsha baada ya uchaguzi kwa kwenda mahakamani.
Hii inasaidia sana kuendelea kuviweka masikioni na akilini mwa wananchi vyama pinzani na hivyo kuvipa uhai zaidi.
Kwa Tanzania hali ni tofauti kabisa! Upande wa bara, wakati matokeo ya urais yakiendelea kusomwa na tume tukaambiwa UKAWA haikubaliani na matokeo yanayosomwa.
Na wakaiandikia tume waraka wa kuiomba isiendelee kuyasoma ili waweke utaratibu wa uhakiki manually.
Tume ikatupilia mbali pingamizi lile na ikaendelea kusoma hadi mwisho. Matokeo ya mwisho yaliposomwa ukawa ikatoa tamko la kutokubaliana na matokeo na tukaambiwa itaenda ICJ kushitaki. Mpk leo jiiiiiiiii!!!!!....!!!!!!.
Hatuoni harakati zozote za kisiasa zikiendelea. Wafuasi huku mitaani wamekata tamaa na inaelekea hata viongozi wamekata tamaa. Ukawa inasubiria matukio ndipo wayavalie njuga. Bahati mbaya JPM anaonekana kuzuia kabisa matukio yatakayotoa kiki kwa upinzani. Hali hii itapelekea kifo cha ukawa kimya kimya.....!!
Kwa upande wa Zanzibar baaday ya uchaguzi kufutwa kwa tamko batili (kama ilivyoelezwa na cuf) la Jecha S. Jecha hatukuona siasa za hamasa zilizokuwa zikifanywa na cuf kuzuia ama kunusuru utimilifu wa tamko la Jecha.
Zaidi tukaona Maalim Seif akicheza ngoma ya ccm ya kuingia peke yake kwenye mazungumzo ya kutanzua mgogoro wa kisiasa huku wanaccm wakiwa 5. Hii ilishangaza wengi. Iweje aende peke yake? Kwani ni mgogoro wa familia? Viongzi wenzake walikuwa wapi?
Sasa wamesusa uchaguzi ccm wamefanya yao na ulinzi madhubuti juu. Cuf kimyaaa!! Kimya hiki siyo tu kwenye majukwaa hata katika vyombo mahususi vya kutoa maamuzi hawatakuwepo. Hawatapata ruzuku. Chama kitakuwa na ukata.
Mikakati ya Kiza Besigye hatuioni. Mahakama hamuzioni? Najua mtasema tume za uchaguzi hazishitakiwi. Kwahiyo mnatumbiaje? Kwamba no way forward? Acheni siasa basi.
Kwa mikakati na mbinu hizi mbovu za vyama vya upinzani ccm itadumu. Maana ni kana kwamba mnasubiria siku ccm itawapa dola kama zawadi. Hilo halipo.
Chadema mmepoteza muelekeo wa misingi yenu ya kupinga ufisadi na hivyo mmepoteza imani kwa wananchi. Mtasema nn? Utamuambia nani akaandamane? Wakati wafia chama kama kina Dr. Slaa mliwanyanyapaa?
Hii inasaidia sana kuendelea kuviweka masikioni na akilini mwa wananchi vyama pinzani na hivyo kuvipa uhai zaidi.
Kwa Tanzania hali ni tofauti kabisa! Upande wa bara, wakati matokeo ya urais yakiendelea kusomwa na tume tukaambiwa UKAWA haikubaliani na matokeo yanayosomwa.
Na wakaiandikia tume waraka wa kuiomba isiendelee kuyasoma ili waweke utaratibu wa uhakiki manually.
Tume ikatupilia mbali pingamizi lile na ikaendelea kusoma hadi mwisho. Matokeo ya mwisho yaliposomwa ukawa ikatoa tamko la kutokubaliana na matokeo na tukaambiwa itaenda ICJ kushitaki. Mpk leo jiiiiiiiii!!!!!....!!!!!!.
Hatuoni harakati zozote za kisiasa zikiendelea. Wafuasi huku mitaani wamekata tamaa na inaelekea hata viongozi wamekata tamaa. Ukawa inasubiria matukio ndipo wayavalie njuga. Bahati mbaya JPM anaonekana kuzuia kabisa matukio yatakayotoa kiki kwa upinzani. Hali hii itapelekea kifo cha ukawa kimya kimya.....!!
Kwa upande wa Zanzibar baaday ya uchaguzi kufutwa kwa tamko batili (kama ilivyoelezwa na cuf) la Jecha S. Jecha hatukuona siasa za hamasa zilizokuwa zikifanywa na cuf kuzuia ama kunusuru utimilifu wa tamko la Jecha.
Zaidi tukaona Maalim Seif akicheza ngoma ya ccm ya kuingia peke yake kwenye mazungumzo ya kutanzua mgogoro wa kisiasa huku wanaccm wakiwa 5. Hii ilishangaza wengi. Iweje aende peke yake? Kwani ni mgogoro wa familia? Viongzi wenzake walikuwa wapi?
Sasa wamesusa uchaguzi ccm wamefanya yao na ulinzi madhubuti juu. Cuf kimyaaa!! Kimya hiki siyo tu kwenye majukwaa hata katika vyombo mahususi vya kutoa maamuzi hawatakuwepo. Hawatapata ruzuku. Chama kitakuwa na ukata.
Mikakati ya Kiza Besigye hatuioni. Mahakama hamuzioni? Najua mtasema tume za uchaguzi hazishitakiwi. Kwahiyo mnatumbiaje? Kwamba no way forward? Acheni siasa basi.
Kwa mikakati na mbinu hizi mbovu za vyama vya upinzani ccm itadumu. Maana ni kana kwamba mnasubiria siku ccm itawapa dola kama zawadi. Hilo halipo.
Chadema mmepoteza muelekeo wa misingi yenu ya kupinga ufisadi na hivyo mmepoteza imani kwa wananchi. Mtasema nn? Utamuambia nani akaandamane? Wakati wafia chama kama kina Dr. Slaa mliwanyanyapaa?