Kwa Mfano Mwamba Angesomea Harvad Ingekuaje?

Mkuu samahani unaweza nipa mfano wa akili sana ya aliesoma na asiesoma hapa kwetu. Mambo gani wamefanya wasiosoma yanayothibitisha kauli yako?
 
Hivii hapa TZ walioenda kusona Harvard wameleta maajabu gani? Mnijulishe jamani.
 
Maji mngeita mmaaaa

,ila hata hao hao waliosoma Havard wanakubali kazi yake kwenye Usimamizi wa uchumi.

So acheni wivu na kutembea kwenye madhaifu yake
 
Magu alikuwa sahihi kumuweka jamaa bench.
Magu naye aliingia mkenge japo alikuja shtuka baadae. Unajua kipaji kimoja alichonacho Nchembe ni kunyenyekea kwa unafki. Jamaa anajua kweli kweli kusoma marais na kuwanyenyekea kama mtumwa. Huyu hata haiba yake ni kama wale manamba viongozi wakata mkonge. Ana tabia za kimanamba-manamba kweli kweli.
 
Elimu ni elimu tu iwe ya dodoma university au ya havard university ilimradi ni degree au phd
 
Angekua na akili za kuto kuropokaropoka...
 
Aliemteua kuwa Waziri wa Katiba na Sheria kufuatia kifo cha Dr. Augustino Mahiga ni nani?

Usiwe unabisha vitu usivyokuwa na uhakika navyo.
Iyo wizara ilikuwa na maana gani kwa Madillu?, unakurupuka tu kengele wewe.
 
Ndiyo amuambie mama umepatia sana kunipa hii wizara, huyo madellu anajipendekeza kishamba sana.
 
Magu alikuwa sahihi kumuweka jamaa bench.
Aliyemrudisha alikuwa nani kama sio Mwendazake? Ukweli unabakia pale pale,pamoja na shida zake binafsi kama za Mwendazake ila Bado ndio Senior na anaaminiwa.

Mengine ni fix zenu tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…