kwa mdada aliyeacha/kuachwa

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
953
Reaction score
413
habari zenu wanajamvi...



Ninaimani muwazima wa afya.... dhumuni La kukimbiliaa apa jamvini, kwa mdada ambaye yupo single naomba ani PM maana nahitaji Faraja..

Nimwaka sasa toka niachane na Ex wangu.... CV yangu ni mwanafunzi wa ud naingia mwaka wa 3 BSC petroleum chemistry... Nina 25 years
 
Ina maana chuoni hakuna,mtaani hakuna,kijijini kwenu,hata sokoni hakuna wananwake wa kukupa faraja? Au kwa sababuvya udomo zege wako.baki hivyo hivyo hakuna mwanamke atakaye ku pm na utaishia kuooga puli.chengukia uwanja wa fisi utaugua mshipa ngili wewe
 
Kweli siku hizi wanaume ni wachache sana!
 

Sa wa huko mtaani si ndio tuko huku Jf,
Mtoa mada natuma applikesheni yangu Pm
 
Mapenzi yana wenyewe.mi sa hivi mtu ukiniambia nakupenda naona kama unanitukana ninavoyachukia haya mahusiano.maumivu yake bora mtu uwe single uwe happy
 
nyie wa udsm si ndo mnadaigi mnapendwa na mademu?? udomo zege utawamaliza!
 

Acha kuongelea nafsi za watu.
Wapo watakao m pm.
 
Mapenzi yana wenyewe.mi sa hivi mtu ukiniambia nakupenda naona kama unanitukana ninavoyachukia haya mahusiano.maumivu yake bora mtu uwe single uwe happy

.tatizo HUNABAHATI
 

Yeye kaona hapa jf
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…